Ngorongoro Heroes mguu sawa Afcon U20

Joel JJ By Joel JJ β€’ 8th April 2025


Ngorongoro Heroes mguu sawa Afcon U20

Timu ya Ngorongoro Heroes inatarajia kuingia kambini Jumatano, Aprili 9, 2025 kwaajili ya maandalizi ya mashindano ya Afcon U20 itakayopigwa Misri kuanzia Aprili 27 huku fainali ikitarajiwa kuchezwa May 18

Ngorongoro ilikata tiketi ya kushiriki michuano hiyo baada ya kutwaa ubingwa CECAFA 2024 kwa kuipiga Kenya mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali uliochezwa katika Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam

Ngorongoro itakwenda kupambana na timu nyingine 11 ambazo ni Morocco, Misri, Senegal, Siera leone, Ghana, Nigeria, DR Congo, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Kenya, Tanzania, Zambia na Afrika kusini


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.