Manchester City wanatazamia kufufua shauku yao ya kumnunua kiungo wa kati wa Newcastle na Brazil Bruno Guimaraes, 27, wakati wanajiandaa kuondoka kwa Mbelgiji Kevin de Bruyne, 33. (UOL esporte)
Chelsea wako tayari kulipa euro 120m (Β£102m) ili kumsajili winga wa Real Madrid na Brazil Rodrygo, 24, kama mchezaji wao nyota msimu wa joto. (Fichajes)





