Manchester City wamemuongeza mlinzi wa kushoto wa Tottenham na Italia Destiny Udogie, 22, kwenye orodha fupi ya wachezaji wanaotarajiwa kusajiliwa huku wakipania kuimarisha nafasi ya mlinzi wa pembeni msimu huu. (Fabrizio Romano)
Meneja wa Lens Mwingereza aliyezaliwa Ubelgiji, Will Still, 32, ni miongoni mwa wanaowania kuwa meneja mpya wa Southampton kufuatia kuondoka kwa Ivan Juric..... download Xtra 90 App



