Kesho, Aprili 16, 2025, jiji la Madrid litashuhudia moja ya mechi za kusisimua zaidi katika historia ya UEFA Champions League, wakati Real Madrid watakapowakaribisha Arsenal kwenye Uwanja wa Santiago BernabΓ©u kwa mchezo wa marudiano wa robo fainali
Arsenal wanaingia kwenye mchezo huu wakiwa na faida ya mabao 3-0 waliyojipatia katika mchezo wa kwanza, shukrani kwa mabao mawili ya adhabu..... download Xtra 90 App



