Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali metangaza viingilio vya mchezo wa mkondo wa kwanza nusu fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC) dhidi ya Stellenbosch utakaopigwa Jumapili, April 20 katika uwanja wa New Amaan Complex
Ahmed ametangaza viingilio hivyo mapema leo visiwani Zanzibar katika Mkutano na waandishi wa habari
"Uwanja wa Amaan unaingiza watu 15,885...... download Xtra 90 App



