Licha ya kupoteza mechi zao za mkondo wa pili, vigogo wa soka barani Ulaya, Barcelona na Paris Saint-Germain (PSG), wamefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League baada ya kuibuka na ushindi wa jumla dhidi ya wapinzani wao.
Barcelona Yavuka Licha ya Kipigo kutoka Borussia..... download Xtra 90 App



