Katika dirisha lijalo la usajili linalotarajiwa kuwa na vuguvugu kubwa, klabu ya Yanga SC imehusishwa na mipango ya kumsajili tena kiungo mshambuliaji mahiri, Feisal Salum, maarufu kama "Fei Toto", ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Azam FC.
Feisal alijiunga na Azam FC misimu miwili iliyopita akitokea Yanga SC, katika uhamisho uliotawaliwa..... download Xtra 90 App



