Tanzania Prisons na KMC zinakabiliwa na mtihani wa kujinasua kwenye nafasi za chini kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara zitakapokabiliana na JKT Tanzania na Dodoma Jiji leo
Prisons inayoshika nafasi ya 14, ikiwa na pointi 24 baada ya michezo 26 itaikaribisha JKT Tanzania inayoshika nafasi ya saba, ikiwa na pointi 32 ikicheza michezo 25 Uwanja wa Sokoine, Mbeya





