International,Normal News,Yanga, Local

Vurugu yaziponza MC Alger, Esperance

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Apr 2025
Vurugu yaziponza MC Alger, Esperance

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imetoa adhabu kali kwa timu za MC Alger na Esperance kutokana na vurugu za mashabiki, wachezaji na maofisa wao ugenini katika mechi za hatua ya robo fainali dhidi ya Orlando Pirates na Mamelodi Sundowns.

Kamati ya nidhamu ya CAF, imeitoza MC Alger faini ya fedha kiasi cha Dola 100,000 (Sh269 milioni) kwa kosa la vurugu ambazo timu na mashabiki wake walifanya dhidi ya Orlando Pirates kwenye Uwanja wa Orlando, Johannesburg, Aprili 9 mwaka huu.

Kocha msaidizi wa MC Alger, Mohamed Khezrouni amepewa adhabu ya kufungiwa michezo minne ya CAF huku beki wake Abdelkader Oussama Menezia akifungiwa mechi mbili.

Esperance nayo imetozwa kiasi cha Dola 100,000 kwa kosa la vurugu ambazo mashabiki wake walifanya Aprili Mosi mwaka huu dhidi ya Mamelodi Sundowns katika Uwanja wa Loftus Versfeld.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’