Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) imetoa adhabu kali kwa timu za MC Alger na Esperance kutokana na vurugu za mashabiki, wachezaji na maofisa wao ugenini katika mechi za hatua ya robo fainali dhidi ya Orlando Pirates na Mamelodi Sundowns.
Kamati ya nidhamu ya CAF, imeitoza MC Alger faini ya fedha kiasi cha Dola 100,000 (Sh269 milioni) kwa kosa la vurugu ambazo timu na mashabiki..... download Xtra 90 App



