Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ilikutana kwa ajili ya kupitia na kutoa uamuzi wa mashauri yaliyowasilishwa mbele yake
Miongoni mwa mashauri hayo yaliwahusu wasemaji wa vilabu vya Yanga, Simba na Kagera Sugar ambao ni Ali Kamwe, Ahmed Ali na Hamis Mazanzala ambao walituhumiwa kwa makosa ya kuchochea UMMA
Katika maamuzi yake, Kamati imewatia hatiani..... download Xtra 90 App



