Msimu wa pili wa ligi ya Muungano unazinduliwa rasmi leo kule Gombani, Pemba kwa mechi ya kwanza ya robo fainali kupigwa
Singida Black Stars itazindua pazia la michuano hiyo kwa kumenyana na wenyeji JKU katika mchezo utakaopigwa saa 11 jioni
Mshindi wa mchezo huo atatinga nusu fainali na kumsubiri mshindi wa robo fainali ya tatu kati ya KMKM dhidi ya Azam Fc, mchezo utakaopigwa..... download Xtra 90 App



