Atletico Madrid wameweka beki wa Tottenham raia wa Argentina, Cristian Romero, 27, kama moja ya wachezaji itakaowasajili msimu huu wa joto. (Marca)
Manchester City wanatarajiwa kumsajili beki wa pembeni wa Juventus na Italia, Andrea Cambiaso, 25, huku klabu hiyo ya Italia ikielekeza macho yake kwa beki wa Arsenal raia wa Ureno, Nuno Tavares, 25, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Lazio...... download Xtra 90 App



