Mtibwa Sugar imehitaji msimu mmoja tu kurejea katika ligi kuu ya NBC baada ya juzi kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Bigman FC kwenye Uwanja wa Ilulu Lindi
Wakata miwa hao kutoka mkoani Morogoro wamekuwa timu ya kwanza kukata tiketi hiyo huku ikisaliwa na michezo miwili mkononi kuhitimisha msimu wa 2024-2025.
Mtibwa iliyoshuka daraja msimu uliopita sambamba na Geita Gold, imepanda..... download Xtra 90 App



