Arsenal wanafikira kumsajili mshambuliaji wa Chelsea na Ufaransa Christopher Nkunku, 27, ambaye hayuko katika mipango ya timu ya Chelsea kwa sasa, huku Mikel Arteta akitafuta kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji msimu huu wa kiangazi. (Teamtalk)
DC United wamekuwa kwenye mazungumzo ya mkataba kwa miezi kadhaa na kiungo wa zamani wa Manchester United, Juventus na Ufaransa Paul Pogba,..... download Xtra 90 App



