Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh Hamis Mwinjuma amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kuhakikisha maeneo muhimu ya uwanja yanakamilika ifikapo Mei 10, 2025
Uwanja huo utatumika kwenye mechi ya Fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya wenyeji Simba Sc dhidi ya Berkane, Mei 25










