Maboresho dimba la Mkapa yanaendelea

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th April 2025


Maboresho dimba la Mkapa yanaendelea

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mh Hamis Mwinjuma amemuagiza mkandarasi anayesimamia ukarabati wa Uwanja wa Benjamin Mkapa kuhakikisha maeneo muhimu ya uwanja yanakamilika ifikapo Mei 10, 2025

Uwanja huo utatumika kwenye mechi ya Fainali ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya wenyeji Simba Sc dhidi ya Berkane, Mei 25


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.