Yanga vs Simba ni Juni 15

Joel JJ By Joel JJ β€’ 6th May 2025


Yanga vs Simba ni Juni 15

Licha ya Yanga kugomea mchezo namba 184 dhidi ya Simba uliohirishwa March 08, Bodi ya Ligi (TPLB) leo imekata mzizi wa fitina kwa kuupangia tarehe mchezo huo

Kulingana na maboresho ya ratiba yaliyotolewa TPLB mapema leo, mchezo huo sasa utapigwa Juni 15

Aidha mechi mbili kuhitimisha msimu sasa zitapigwa Juni 18 na Juni 22 ambapo zote zitachezwa katika muda mmoja ili kuepuka upangaji wa matokeo


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.