Manchester United imeiambia Chelsea kwamba italazimika kulipa pauni milioni 65 ili kumsajili winga wa Argentina mwenye umri wa miaka 20 Alejandro Garnacho msimu huu wa kiangazi. (Star)
Klabu za Everton na Wolves zina nia ya kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Nicolas Pepe, huku mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast mwenye umri wa miaka 29 akitarajiwa kukamilisha mkataba wake..... download Xtra 90 App



