Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma ameishauri Serikali kuifanya Bodi ya ligi ijitegemee badala ya kuwachini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Mbali na ushauri huo, Msukuma pia amemtaka Waziri wa Michezo Profesa Paramagamba Kabudi kueleza alichokutana nacho ndani kwenye kikao cha maridhiano ya Simba na Yanga ambacho kilimfikisha saa nne za usiku





