Klabu ya Al-Hilal ya Saudia inajiandaa kuwasilisha dau la kumnunua nahodha wa Manchester United Bruno Fernandes, lakini Mashetani hao wekundu hawana mpango wa kumuuza kiungo huyo wa kati wa Ureno mwenye umri wa miaka 30. (Mail)
Newcastle inamfuatilia mlinzi wa Bayer Leverkusen na Ujerumani Jonathan Tah, 29, ambaye anatarajiwa kuondoka katika klabu hiyo mkataba wake utakapokamilika msimu..... download Xtra 90 App



