Kiungo wa kati wa Real Sociedad Martin Zubimendi, 26, amekubali kwa mdomo kujiunga na Arsenal na mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania ananuia kujiunga na The Gunners wakati kipengele chake cha kuachiliwa cha euro 60m (Β£50.75m) kitakapoanzishwa. (Sportsport)
Hata hivyo, ripoti kutoka Uhispania zinasema Xabi Alonso amemjumuisha Zubimendi kwenye orodha ya walengwa wa uhamisho wa wakati,..... download Xtra 90 App



