Kikosi cha Simba kitaondoka jijini Dar es salaam leo Jumanne, May 13 kuelekea Morocco tayari kwa mchezo wa mkondo wa kwanza fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC) dhidi ya RS Berkane
Mchezo huo utapigwa Jumamosi, May 17 katika uwanja wa Manispaa ya Berkane, saa 4 usiku kwa saa za Tanzania
Msafara wa Simba ambao utajumuisha wachezaji, benchi la ufundi, viongozi na mashabiki..... download Xtra 90 App



