Manchester City wamekutana na mshambuliaji wa Bayer Leverkusen Florian Wirtz, 22, kuhusu uhamisho katika majira ya joto. (Bild)
Hata hivyo, Liverpool pia wamewasiliana na Wirtz kuonyesha nia ya kumsajili kiungo huyo mshambuliaji katika majira haya ya joto. (Athletic)
Klabu za Ligi Kuu ya England zikiwemo Manchester City na Arsenal zinamnyatia mshambuliaji wa Real Madrid Rodrygo, 24,..... download Xtra 90 App



