Jumapili, May 18 2025 mabingwa watetezi kombe la CRDB Yanga watashuka uwanja wa Mkwakwani Tanga kumenyana na JKT Tanzania katika mchezo wa nusu fainali ya michuano hiyo
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo utakaopigwa saa 9:30 Alasiri;



