Yanga imetinga fainali ya kombe la CRDB ikiichapa JKT Tanzania mabao 2-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa uwanja wa Mkwakwani
Mabao ya Prince Dube na Mudathir Yahya aliyefunga bao la pili dakika za jiooooni, aliihakikishia Yanga kutinga fainali ya tano mfululizo ya michuano hiyo
Pengine ni mchezo ambao mabao mawili yalionekana machache kwa Yanga nafasi za wazi nyingi..... download Xtra 90 App



