Manchester United imewasilisha ofa ya euro milioni 65 kumsajili mshambuliaji wa Brentford na Cameroon Bryan Mbeumo, 25, ambaye amesalia na mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa sasa. (Fichajes - kwa Kihispania)
Mshambuliji wa Al-Nassr Cristiano Ronaldo, 40, amepokea ofa kutoka kwa klabu ya Brazil ambayo haijafichuliwa, ambayo ingemruhusu nyota huyo wa Ureno kucheza Kombe la Dunia la Klabu ya..... download Xtra 90 App



