Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya mchezo wa mkondo wa pili wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) dhidi ya RS Berkane ya Morocco, hali ya sintofahamu bado imetanda juu ya wapi mechi hiyo muhimu itapigwa.
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limepanga mchezo huo kufanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex, Visiwani Zanzibar, Jumapili, Mei 25, 2025 saa 12 jioni. Hata hivyo,..... download Xtra 90 App



