Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limeeleza kuwa lilitumia muda mwingi kusaidia na kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na Wadau wengine ili kuwezesha mechi ya marudiano ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la TotalEnergies CAF 2024/25 kuchezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam tarehe 25 Mei 2025.



