Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali amesema baada ya jitihada za kurejesha mchezo wa mkondo wa pili fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC) dhidi ya RS Berkane katika uwanja wa Benjamin Mkapa kukwama, hakuna tena muda wa kulalamika na sasa Simba inakwenda kujiandaa na mchezo huo utakaopigwa Jumapili, May 25 katika uwanja wa New Amaan Complex,..... download Xtra 90 App



