Klabu ya Yanga SC inaonekana kutopoteza muda katika maandalizi ya msimu ujao wa 2025/2026, baada ya kumuuza kiungo wao nyota Stephane Aziz KI, aliyejiunga na Wydad Casablanca ya Morocco, mabingwa hao wa Tanzania Bara wamepiga hatua kubwa kwa kuhakikisha wanaboresha safu ya ushambuliaji β na jina la Jonathan Sowah limewekwa kwenye mstari wa mbele.



