Beki Yanga nje miezi sita

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd May 2025


Beki Yanga nje miezi sita

Mlinzi wa kulia wa Yanga Yao Kouassi 'Jeshi' amefanyiwa upasuaji wa goti nchini Morocco

Yao amekuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi minne sasa akisumbuliwa na maaumivu ya goti

Nyota huyo raia wa Ivory Coast, anatarajiwa kuwa nje ya uwanja hadi miezi sita. Huenda klabu ya Yanga ikalazimika kurudi sokoni kusaka mbadala wake

Mkataba wake na mabingwa hao wa Tanzania, unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.