CAF yatambulisha kombe jipya ligi ya mabingwa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd May 2025


CAF yatambulisha kombe jipya ligi ya mabingwa

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) leo limetambulisha kombe jipya kwa ajili ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika

Hafla ya utambulisho wa kombe hilo, ilifanyika Afrika Kusini mapema leo

Bingwa wa CAF CL msimu huu atakuwa wa kwanza kubeba kombe hilo

Mamelodi Sundowns na Pyramids zitamenyana katika mchezo wa fainali


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.