Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) leo limetambulisha kombe jipya kwa ajili ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika
Hafla ya utambulisho wa kombe hilo, ilifanyika Afrika Kusini mapema leo
Bingwa wa CAF CL msimu huu atakuwa wa kwanza kubeba kombe hilo
Mamelodi Sundowns na Pyramids zitamenyana katika mchezo wa fainali



