Simba imekosa kombe la Shirikisho (CAF CC) baada ya kulazimiswa sare ya bao 1-1 dhidi ya RS Berkane katkika mchezo wa pili wa fainali uliopigwa uwanja wa New Amaan Complex
Kulikuwa na kila dalili kwa Simba kupindua meza leo baada ya kufunga bao la mapema dakika ya 17 kupitia kwa Joshua Mutale ambaye leo alikuwa nyota wa mchezo
Kazi nzuri ya Steven Mukwala kutoka winga ya kulia krosi..... download Xtra 90 App



