Tanzania kujipima na Afrika Kusini

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th May 2025


Tanzania kujipima na Afrika Kusini

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limethibitisha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itacheza mechi ya Kmataifa ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini. Mechi hiyo itapigwa Juni 6 katika kalenda ya FIFA

Kulingana na taarifa iliyotolewa na TFF, mchezo huo utapigwa Afrika Kusini katika mji wa Polokwane

Aidha huenda Stars ikacheza mechi nyingine dhidi ya Morocco


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.