Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limethibitisha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itacheza mechi ya Kmataifa ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini. Mechi hiyo itapigwa Juni 6 katika kalenda ya FIFA
Kulingana na taarifa iliyotolewa na TFF, mchezo huo utapigwa Afrika Kusini katika mji wa Polokwane
Aidha huenda Stars ikacheza mechi nyingine dhidi ya Morocco




