Klabu ya Coastal Union ya Tanga imekamilisha usajili wa kiungo Mshambuliaji wa klabu ya KenGold
Kiala Lassa amesajiliwa kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na klabu yake hiyo
Kiala Lassa raia wa Congo anauwezo wa kucheza namba nyingi uwanjani kama vile 7, 11 na 10
Amekuwa na msimu bora sana kwenye Kikosi cha KenGold tangu ajiunge na timu hiyo mwezi Januari licha ya kushuka daraja



