Coastal Union yavuta kiungo KenGold

Joel JJ By Joel JJ β€’ 27th May 2025


Coastal Union yavuta kiungo KenGold

Klabu ya Coastal Union ya Tanga imekamilisha usajili wa kiungo Mshambuliaji wa klabu ya KenGold

Kiala Lassa amesajiliwa kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na klabu yake hiyo

Kiala Lassa raia wa Congo anauwezo wa kucheza namba nyingi uwanjani kama vile 7, 11 na 10

Amekuwa na msimu bora sana kwenye Kikosi cha KenGold tangu ajiunge na timu hiyo mwezi Januari licha ya kushuka daraja


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.