Klabu ya Zamalek ya Misri imeongeza kasi ya harakati zake za kumsajili mshambuliaji tegemeo wa Yanga SC, Clement Mzize, kwa kuongeza dau lao la awali ambalo lilikataliwa na mabosi wa klabu hiyo ya Tanzania.
Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na uongozi wa Yanga, Zamalek tayari imetuma ofa mpya ya takribani dola 750,000 za Kimarekani, sawa na zaidi ya shilingi..... download Xtra 90 App



