Aston Villa imekuwa klabu ya hivi punde kuonyesha nia ya kumsajili winga wa Uingereza Jadon Sancho, 25, kutoka Manchester United. Sancho amekuwa akiichezea klabu ya Chelsea kwa mkopo.(Team Talk)
Newcastle United imemfanya mlinda lango wa Burnley na England James Trafford, 22, kuwa kipaumbele chao msimu huu wa kiangazi. (Times - usajili unahitajika)





