Sakata la mchezo wa Dabi ya Kariakoo unaozikutanisha Yanga dhidi ya Simba, limeingia bungeni ambapo Serikali imesema haiwezi kuingilia kwa kuwa mchezo wa mpira wa miguu una kanuni zake kitaifa na kimataifa.
Kauli hiyo imekuja baada ya swali la nyongeza liloulizwa na Mbunge wa Makete (CCM), Festo Sanga aliloliuliza leo Juni 11,2025 wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni. Sanga..... download Xtra 90 App



