Mtendaji Mkuu wa Yanga Andre Mtine leo ameitikia wito wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuhakiki madeni pamoja na madai ya Yanga kulipwa fedha za ubingwa wa kombe la FA (CRDB)
Yanga imekuwa na malimbikizo ya madai ya zawadi ya ubingwa wa michuano hiyo kwa misimu mitatu
Mtine ameeleza msimamo wa Yanga ni kulipwa fedha hizo kwani wanahitaji kufanya maandalizi kuelea..... download Xtra 90 App



