Mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu amesema Simba inashiriki mashindano mbalimbali kwa kuzingatia taratibu za uendeshaji zinazopangwa na mamlaka husika
Mangungu amesema bodi ya ligi iliupangia mchezo namba 184 dhidi ya kupigwa Juni 15 lakini baadae wameusogeza mbele mchezo huo kupigwa Juni 25, Simba kama timu ya mpira wa miguu jukumu lake ni kucheza mpira





