Mechi za raundi ya 29 ligi kuu ya NBC zimehitimishwa kwa timu za Yanga, Simba na Azam Fc kugawa vipigo vizito katika mechi zao
Yanga imeendelea kusalia katika nafasi yake kileleni mwa msimamo wa ligi wakiichapa Tanzania Prisons mabao 5-0
Hali ilikuwa kama hiyo mkoani Tabora Simba ikiifumua Ken Gold mabao 5-0 na Azam Fc ikijibu mapigo dimba la Azam Complex ikiifumua Tabora United..... download Xtra 90 App



