Mechi za mzunguuko wa 30 ligi kuu ya NBC zimetamatishwa leo miamba ya soka nchini Yanga, Simba na Azam Fc zikishinda mechi zao huku Prisons na Fountain Gate zikiangukia kucheza mechi za play-off
Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Dodoma Jiji ukiwa mchezo wa pili mfululizo Yanga ikishinda mabao matano baada ya kuichapa Prisons idadi hiyo ya mabao katika mchezo..... download Xtra 90 App



