Arsenal inaweza kujiondoa kwenye dili la pauni milioni 70 kumsajili mshambuliaji wa RB Leipzig, Benjamin Sesko, mwenye umri wa miaka 22, kutokana na madai makubwa ya mshahara ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Slovenia.
Mshambuliaji wa Sporting na Sweden, Viktor Gyokeres, mwenye umri wa miaka 27, anatajwa kuwa chaguo mbadala. (Mirror)
Bayern Munich wameingia katika mbio za kumnunua..... download Xtra 90 App



