Bodi ya ligi kwa kushirikiana na klabu ya Yanga na N-Card, wametangaza utaratibu wa mashabiki kuingia uwanjani katika mchezo wa ligi kuu kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Jumatano, Juni 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Afisa Habari wa Bodi ya Ligi Karim Boimanda amesema umeandaliwa utaratibu mzuri kuhakikisha wale waliokata tiketi kwa ajili ya mechi ya mwanzo iliyopaswa kupigwa..... download Xtra 90 App



