Bodi ya Ligi (TPLB) imewatangaza waamuzi wa mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba utakaopigwa Jumatano, Juni 25 katika uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo waamuzi wote wanatoka nchini Misri
Kulingana na taarifa iliyotolewa na Bodi mapema leo, mchezo huo namba 184 utaamuliwa na waamuzi kutoka Misri ambapo Mwamuzi wa kati ni Amin Mohamed Amin Omar (Misri), mwamuzi msaidizi wa..... download Xtra 90 App



