Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeweka wazi ratiba ya michezo ya fainali za CHAN 2024, ambapo wenyeji Tanzania watafungua michuano hiyo kwa kuikabili Burkina Faso Uwanja wa Benjamim Mkapa Agosti 02, saa mbili usiku
Tanzania ipo Kundi B sambamba na timu za Burkina Faso, Madagascar, Mauritania pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Nchi jirani ya Kenya itaanza mchezo wake wa kwanza wa..... download Xtra 90 App



