Yanga imefanikiwa kutetea taji la CRDB kwa msimu wa nne mfululizo wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar
Mabao ya Duke Abuya dakika 40 na Clement Mzize aliyepachika bao la pili dakika ya 50 yametosha kuihakikishia Yanga ushindi huo unaolirudisha taji la CRDB Jangwani kwa msimu..... download Xtra 90 App



