Kiungo wa Simba Fabrice Ngoma amewaaga mashabiki baada ya mkataba wake wa miaka miwili na Wekundu hao wa Msimbazi kufika tamati
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, Ngoma ametoa ujumbe huo wa kuaga na shukrani
"Namshukuru kila mmoja ambaye alinifanya mimi kujisikia nipo nyumbani nikiwa Simba. Shukrani zangu ziende kwa Salim Abdallah βTry Againβ na Boss MO ambao..... download Xtra 90 App



