Mamia ya mashabiki wa Yanga wamejitokeza katika msafara wa paredi ya kufurahia ubingwa wa timu kutoka JNIA kuelekea Makao Mkuu ya Yanga, Jangwani jijini Dar es salaam
Mashabiki hao leo wameungana na wachezaji na viongozi wao katika kufurahia mataji matano ambayo timu yao imetwaa msimu uliomalizika









