Yanga yafanya paredi ya ubingwa Dar

Joel JJ By Joel JJ β€’ 30th June 2025


Yanga yafanya paredi ya ubingwa Dar

Mamia ya mashabiki wa Yanga wamejitokeza katika msafara wa paredi ya kufurahia ubingwa wa timu kutoka JNIA kuelekea Makao Mkuu ya Yanga, Jangwani jijini Dar es salaam

Mashabiki hao leo wameungana na wachezaji na viongozi wao katika kufurahia mataji matano ambayo timu yao imetwaa msimu uliomalizika


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.