Unaweza kusema kazi nzuri iliyofanywa na Kocha Miloud Hamdi imewapa sababu viongozi wa Yanga kumpa mkataba wa muda mrefu
Wakati Hamdi anatua Yanga kuchukua mikoba iliyoachwa na Sead Ramovic aliyetimkia CR Belouizdad, alisaini mkataba mfupi ambao umefikia tamati jana, Juni 30
Hata hivyo baada ya kuiongoza Yanga kutwaa kombe la CRDB juzi, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said..... download Xtra 90 App



