West Ham imekataa dau la pauni milioni 50 iliyowasilishwa na Tottenham kumsajili mshambuliaji wa Ghana Mohammed Kudus, 24. (Talksport)
Arsenal ina matumaini ya kumpata mshambuliaji wa Brazil Rodrygo kwa pauni milioni 70. Mchezaji huyo hana uhakika wa kusalia Real Madrid chini ya kocha mpya Xabi Alonso. (Mirror)
Atletico Madrid iko tayari kufanya kila iwezalo kumsajili beki wa..... download Xtra 90 App



